Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Awasili Lusaka, Zambia, Kwenye Mkutano Wa Benki Ya Maendeleo Ya Afrika

Posted by Unknown on 11:02:00 PM
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Naibu Waziri wa Ulinzi wa Zambia, Christopher Mulenga baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Kenneth Kaunda uliopo Lusaka,Zambia ambako atamwakilisha Rais Dkt.John Pombe Magufuli kwenye mkutano wa Benki ya Maendeleo ya Afrika ADB.